Showing posts with label Tigo. Show all posts
Showing posts with label Tigo. Show all posts

Friday, September 29, 2017

Tamasha la Tigo Fiesta Lafana Mkoani Tabora

br />
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akizungumza kuhusu usalama wa watu na mali zao ulivyoimalishwa  kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jana.




Benpol akiwapagawisha wakazi wa Mkoa wa Tabora katika Tamasha la Tigo Fiesta katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora



Msanii wa bongo fleva Mr Blue akitumbuiza kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia jana.



Chege akitumbuiza kaaika jukwaa la Tigo Fiesta



Darasa akitumbuiza kaaika jukwad la Tigo fiesta mapema usiku wa kuamkia leo mkoani  Tabora.



Omg Dimpoz akiburudisha wakaz wa Tabora waliojitokeza kwa wingi katika viwanja via 

Jux akitummbuiza wakazi wa Tabora.

Jux katika jukwaa la Tigo Fiesta  katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora 

Maua Sama akiimba kwa hisia 





Maelfu ya wakazi wa Tabora wakiwa katika Tamasha la Tigo Fiesta mapema usiku wa kuamkia jana.

Saturday, July 29, 2017

Acheni Mchezo wa TIGO, Watu Wanajamba Ovyo Siku Hizi!



Wadau, juzi nilikuwa naongea na MBongo. Alikuwa analalamika kuhusu jinsi watu wanavyoshindwa kujikaza siku hizi na kuachia pumzi (kujamba)!

Nayoona ni hivi, Bongo mchezo wa TIGO ( Kufira/ Sodomy) umezidi!   Na nimekuwa nikisema siku nyingi mtaona athari za huo mchezo kuongezeka!

Kwanza, kwa vile ile sphincter ya mkundu/anus imelegea, mtu anashindwa kuzuia pumzi kutoka. Pia maji maji yanatoka, na inabidi avae nepi/pedi.  Halahala huyo akae kwenye kiti/cochi. Unashangaa kwa nini nzi wanaenda pale alipokaa huyo mtu!  Mnaona biashara ya nepi za wakubwa invyoshamiri huko Bongo?

Pili, Ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection) kwa wanawake na wanaume umeongezeka Bongo kwa vile, mchezo wa TIGO unasababisha uchafu kuingia kwenye ume na uke. Fikiria, dume anaingiza ume wake kwenye mkundu, lazima anapatwa na chembe chembe za mavi!  Na uchafu lazima unateremka kwenye uke wa mwanamke!

Nilishasema na ninawakumbusha, mungu aliumba mkundu/anus kwa ajili ya kunya. Yaani kutoa uchafu mwilini. Haikuumbwa kwa ajili ya kuingiza kitu! Ndo maana inalegea mchezo ukizidi.

Acehni mchezo huo chafu!Tumieni kondomu kwa usalama wenu!




Friday, July 28, 2017

Tigo Imechangia Kisima kwa wakaazi wa Mji Mpya mkoani Morogoro



Mkuu wa wilaya ya Morogoro mjini, Regina Chonjo (katikati) akikata utepe kuzindua kisima kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo chenye thamani ya shilingi milioni 17/- kwa hospitali ya Mji mpya jana mjini Morogoro. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Meneja wa huduma za jamii Tigo, Halima Okash, Ofisa Mkuu wa Ufundi na Taarifa wa Tigo (CTIO) Jérôme Albou,  na  Diwani wa mji mpya Wence Kalogelezi

Mkazi wa Mji mpya akiwa kabeba ndoo ya maji mara baada ya uzinduzi wa kisima kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo chenye thamani ya shilingi milioni 17/- kwa hospitali ya Mji mpya jana mjini Morogoro.




Mkuu wa wilaya ya Morogoro mjini, Regina Chonjo (katikati) akihutubia wakazi wa Mji mpya mara baada ya  kuzindua kisima kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo chenye thamani ya shilingi milioni 17/- kwa hospitali ya Mji mpya jana mjini Morogoro.



Mkuu wa wilaya ya Morogoro mjini, Regina Chonjo akiwa katika picha ya pamoja  na Wakazi wa Mji Mpya Mkoani Morogoro mara baada ya uzinduzi w kisima hicho.

 kisima kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo chenye thamani ya shilingi milioni 17/- kwa hospitali ya Mji mpya jana mjini Morogoro.


·        Uchangiaji huu ni ishara ya shukurani kwa wakaazi hao kwa kuzima moto katika kituo cha data cha Tigo.

Tarehe 27 Julai 2017 – Tigo Tanzania imechangia kisima chenye thamani ya TZS milioni 17 kwa hosipitali ya Mji Mpya na maeneo yanayoizunguka katika mkoa wa Morogoro kama mkono wa shukurani kwa wakaazi kwa kuhatarisha maisha yao wakati wakipambana na moto ambao ulilipuka katika kituo cha data cha kampuni katika eneo hilo.
Kwa mujibu wa Tigo, uchimbaji wa kisima hicho pia ulikuwa sambamba na nia ya kampuni hiyo kusaidia ustawi wa jamii ambako Tigo inaendesha  shughuli zake.
Akizungumza katika sherehe za makabidhiano zilizofanyika katika hospitali ya mji mpya katika manispaa ya mji wa Morogoro Afisa Ufundi na Taarifa wa Tigo (CTIO) Jerome Albou alielezea matarajio yake kwamba kisima hicho kitawafikisha mbali sana katika kuondoa suala la upungufu wa maji katika hospitali na pia kutoa maji safi na salama ya uhakika kwa jamii inayokizunguka.
“Tunawashukuru sana watu wa Mji Mpya kwa kuonesha kujali na kujitoa wakati wa kupambana na moto ambao karibu uteketeze kabisa kituo cha Data mapema mwaka huu. Kweli Tigo ina deni kwa wanajamii, serikali ya mtaa na viongozi wa ulinzi na usalama wa manispaa kwa kuitika  kwa wakati kuhakikisha kuwa hakuna uharibifu mkubwa unasababishwa wakati wa moto,” alisema Albou.   
“Kwa hiyo msaada huu, unakuja kutimiza ahadi walioiweka Tigo kwa wakazi wa Mji mwema wa kuwapatia maji safi na salama kama namna ya kutambua juhudi zao katika kulinda mali za kituo hicho cha data.”
Albou alibainisha kwamba uchangiaji huo unakamilisha idadi ya vijiji 20 ambavyo vimenufaika kutokana na jitihada za Tigo za kutoa maji safi na salama nchi nzima, ikiwa inawasaidia zaidi ya watu 187,000.
Mwaka huu, Tigo ina mpango wa kuchimba visima zaidi katika maeneo yanayohitaji ambayo zaidi ya watu 350,000 wanatarajiwa kunufaika katika jitihada zetu za kusaidia juhudi za serikali za kuondoa upungufu wa maji safi na salama nchini.
Makabidhiano yalishuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr Kebwe Stephen Kebwa ambaye aliishukuru Tigo kwa kufikiria kutoa msaada huo. Alisema kwamba kisima hicho kitasaidia utoaji wa huduma bora za kiafya katika hospitali ya Mji Mwema na kusaidia katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Aliwaomba wasamaria wema wengine kujitokeza na kuunga mkono juhudi za kuondoa upungufu wa maji katika mkoa huo.
Tunapenda kuishukuru Tigo kwa kutusaidia katika juhudi zetu za kutoa huduma za kiafya za uhakika katika eneo hili kwa kutatua tatizo lililokuwepo la upungufu wa maji. Tunaamini kwamba upatikanaji wa maji safi na salama karibu na wakaazi pia itaongeza uzalishaji wa kiuchumi hasa kwa wasichana na wanawake ambao hawatakuwa wanapoteza muda mwingi wa kutafuta maji safi na salama sehemu zingine. Hii itawapatia wasichana fursa ya kuhudhuria masomo kwa uhuru na kuipa jamii fursa ya kuhudhuria kwa ufanisi katika shughuli zao za maendeleo ya Taifa,  Alisema Dr Kebwe. 

Tuesday, June 24, 2014

Peoples Bank of Zanzibar Launches Online Service

(Zanzibar, Tanzania)  The people's Bank of Zanzibar Limited (PBZ Ltd) which is one among the oldest commercial banks in Tanzania and the only indigenous bank in Zanzibar wholly owned by the people of Zanzibar has today expanded its online remittance services to Tanzania from abroad by launching a new service for mobile phone subscribers in the country.

The new service enables members of Tanzanian Diasporic communities to transfer money to their loved ones in Tanzania directly to their mobile phones. Thus, anyone with a mobile phone in Tanzania can now receive money securely and promptly from overseas regardless of his/her location in the country. Similar service is already enjoyed by other East African countries.

The service is carried-out in collaboration with a widely renowned and an award-winning London-based financial services institution calledWorld Remit

The People's Bank of Zanzibar couldn't have planned a better timing for the launch of this new service than at the moment when the local Tanzanian mobile networks just signed the 'interoperability agreement' which allows mobile money customers to transfer cash to each other regardless of whether they are using Tigo Pesa, Airtel Money or Ezy Pesa on their mobile handsets.

With such an agreement in place, many families in the Diaspora will now be enticed to send e-money back home to the e-wallet accounts of their relatives even if the relatives live in remote villages. This will definitely promote a nascent ‘cashless’ economy in Tanzania and will help to drive forward e-commerce and socio-economic development in the country.
According to the People’s Bank of Zanzibar, from January 31st, 2013, when the first remittance worth only TShs 31,252.00 was sent from Toronto, Canada, up to date around one billion Tanzanian Shillings have already been remitted to Tanzania from different Diaspora communities through the People’s Bank of Zanzibar using cash pickup at the counter, bank deposit and airtime top-up services.

Visiting any branch of the bank in Tanzania today one would not fail to notice queues of customers beaming with smiles as they happily wait to pick up their cash sent by their relatives and friends from Europe. These queues are now part of the history of the People's Bank of Zanzibar, as no one would from tomorrow go to stand on a queue when he knows quite well that he can receive cash from abroad directly in the palm of his/her hand.

Monthly records of the People's Bank of Zanzibar show that the number of remittances from different Diaspora communities are increasing month after month with Canada leading. Of late, UK which has the largest population of Tanzanians abroad has also caught up with the spirit after lagging behind for sometime and if it continues with the same tempo might soon surpass Canada. 

The remittance services provided by the People’s Bank of Zanzibar were originally destined only for the recipients of those cities where the bank had its branches, viz, Pemba, Zanzibar and Dar Es Salaam. But, with the launching of this new service today, a new window has been thrown open for more than 27 million Tanzanians who own mobile phones in the country.

According to the officials of the bank in Zanzibar, the system has begun today to transfer funds to Tigo mobile phone numbers only (Tigo Pesa accounts), while the process of finalizing agreements with the other 3-BIG mobile providers in the country goes on.

Recipients are required to pre-register for mobile money service with their mobile phone providers prior to the usage of the service.

Remittance services through the People’s Bank of Zanzibar from USA to Tanzania are expected to start by the end of the year.

To all those who toiled, moiled and operated as one high performing team for the successful launching of the service today, we say it loud to them - AHSANTENI SANA!


Source: Zanzibar Ni Kwetu

Sunday, June 09, 2013

Acheni Mchezo wa Tigo Jamani!

Wadau, nasikia huko Bongo mambo ya Tigo yanashamiri. Wanasema ni kwa sababu ya video za nchi za magharibi na Asia. Nilisikia hiyo habari hata nilipokuwa Dar mwaka juzi. Wanaume walikuwa wanasema mwanamke akijamba ina maana yuko tayari kufanya Tigo (kulwiti/kufirwa). 

Aathari za mchezo wa Tigo ni nyingi. Baada ya muda huko myuma pana legea, haja kubwa haikai, mimavi inatoka kila saa. Itabidi mvae nepi!  Lakini midume haiogopi mavi kuingia kwenye ume zao na kuwasababishia magonjwa?

Halafu nasikia wanawake wanakubali kutoa nyuma kwa kuhofia wanaume wao hawatawapenda au watawaacha na kwenda kwa wengine. Mchezo wa Tigo ni mbaya na miili yetu haikuumbwa kwa ajili ya mchezo huo mchafu!

************************************



Mdau Hildegard Kiwasila alitoa ushauri huo kwa dada fulani ambaye alikuwa anajadili ampe mpenzi wake nyuma kwa vile alihofia atamwacha:
 
Tatizo ni la wanawake, mwanamke anapopenda anaingia mzima mzima anapenda kwa moyo, kichwa, tumbo, miguu, macho anakuwa haoni kingine tena na masikio-kiziwi haoni na kusikia mifano ya wenzake. Hakubali.

Ndio maana mwanamke au msichana akiachwa na boyfriend au mume-anachanganyikiwa kuliko mwanaume na anawerza kujiua au kufeli mitihani. Na ikiwa huyo ni bwana wake wa kwanza aliyemtokea-ndio haoni kabisa kipofu, hasikii na anaweza akaharibu masomo au kazi kama ataachwa ghafla. Hivyo anapata tabu kuamua aachane naye anaona kama mbingu itashuka imuangukie, bora avumilie hivyo hivyo baadae kicha kinakuja kuchanganya.

Mwenzake huyo alizoea siku nyingi ila alikuwa anamlia time tu amzoee ili amwambie. Yeye-alishindwa kugundua au kutambua alama za nyakati.

Ndio hao wanawake wasio maamuzi. Mume anabaka housegirl anatia mimba, anambaka mdogo wake anayeishi naye au mwanae wa kufikia anawazalisha wote bado mke yup radhi kuficha evidence amwache aende jela naye akasulubiwe huko eti anampenda, hataki afungwe kama amekosa amemsamehe. Hapo ndio sheria za nchi zinatakiwa zimkamate na huyo mama msicha siri akalale ndani na mume pia.
Akikataa uchafu huo eti mume analeta bibi wa nje  kwa vile yeye hataki hiyo Tigo na anamlazwa chini au mke unalala na watoto chumba kingine na bado upo.

Tujifunze ujasiri na kuweka kuwa na maamuzi. Atakapokubali na kuharibika ataachwa pia atatafuta mwingine. Madhara ni mengi sana pamoja na kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuchubuka maana huko hakukuumbika kwa kazi hiyo na mengine kisaikolojia.

Zipo study nyingi sana za sexual violence, sexual abuse na extent of sodomy in Tanzania zilizofanywa na wadaktari na wengineo Muhimbili, NGOs.

Binafsi nimefanya ya sexual abuse kwa wanafunzi Kilosa, Lindi, DSM na ya Extent of Sodomy TZ sample dar, bagamoyo, ZNZ na kujumlisha na ile ya sodomy kwa wanafunzi. Sodomy ni tatizo ktk ndoa. 1% ya ndoa huathiriwa na suala hili. Wanafunzi mashuleni sexually active waliofanya sodomy tulipata ktk sampo yetu 67% wanaongoza kwa hiyo Tigo. Hufanya jambo hili kuzuia mimba. Wanaume mpaka wa umri wa 26 waliripoti kubakwa/kulawitiwa. Wanaume (2%) walitoa taarifa ya kufanyiwa mchezo huu na waajiri wao mpaka baba mwenye nyumba kwa vijana houseboys au waajiri wenye maduka anakofanya kazi (hawa umri mdogo). Wanaobakwa umri mkubwa huwa ni mpango na ushindani kibiashara, kugombania mwanamke/msichana, kufumaniwa. Unasukiwa zari ili uhame eneo la ushindani au umuache mwanamke mnayegombania baada ya kukutumia vijana bangi bangi wanakutesa na kukupiga picha na kukutishia kuziweka hadharani; au kukutangaza na ukipita watu wanakucheka au ulitendewa ukaachwa hoi ukaokotwa huna nguo na umechafuka.

Wanaume tuliowahoji ambao walitoa taarifa za kubakwa tuligundua kuwa ndio waundao magenge ya ubakaji. walipoulizwa  kama wataendelea na sodomy walisema 'Yes'. why? alijibu-anapomfanyia hivyo mtu 'me' au 'ke' anapata ahuheni au nafuu kisaikolojia kuona kwamba amemuadhibu mtu kama yeye alivyoadhibiwa kwa kumfanyia hiyo Tigo. hawa wanaume hawapati ushauri nasaha na hawajitokezi kama wanawake wabakwao. Yupo baba mmoja Dodoma alibakwa akitoka kulewa pombe alifariki kutokana na depression ya kufanyiwa tendo hilo. Yupo yule aliyetolewa ktk gazeti ambaye alikuwa akibaka wake za watu (Dodoma). akawamaliza mjini eneo lake na akaanza kuwafanyia wanaume (Kiuchawi) akakamatwa nyumba ya mlokole mmoja anayesali sana uchawi ukaishia hapo. Ndipo aliposimulia yote aliyofanya. Wapo wengine wana mapepo na wapo watumiao uchawi wasionekane bali wanafanya uchafu majumbani mwa watu na mashuleni. Hawa wana laana. wapo wanafunzi wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe au kuonea wale wadogo kuwaingiza machakani, mabanda mabovu etc. Fundisha mwanao vizuri aepuke haya.

Wapo ndugu unaokaa nao na kuwalaza na watoto wako wadogo hao ndugu au mgeni aliyekuja, au kulala na houseboy, shamba boy/mfuga mifugo wako wa dairy cattle DSM-hawa tazama weka onyo kwamba ukimsikia na kupata taarifa kwa mtoto utamfunga tu. waelimishe na watoto ambao hutishiwa na kuhongwa visent, kaka anampenda sana na kumlea vizuri kumbe anamuharibu wewe hujui. kagua watoto me na ke mbele na nyuma ili nao waogope na hao waishio nao. Usichanganye watoto wakubwa na wadogo ktk malazi kutokana na uhaba wa vyumba na kuchanganya watoto wa umri tofauti-wengi wameharibika na ndio chanzo cha ushoga-anazoea.

Wapo changudoa ambao ni Toigo na Voda kwa bei tofauti hawa huharibu waume za watu. Anapozoea-inakuwa tatizo ktk ndoa. Tulipowahoji wale ambao walifanya mchezo huu mbaya kimila na maadili ya kiafrika na kidini:-wale walioanza na wasichana mambo ya Tigo-HAWAKUWAOA HAO WALIOFANYA NAO HAYO. WALIOA WENGINEO AMBAO HAWAKUENDELEA NAO HAYO. Wasichana/wanawake walioanza mambo hayo shuleni walipoolewa-hawakufanya na waume zao ambao hawakuomba suala hilo na wala mume hakujua kama huyo alishafanya hivyo. Ni wachache sana waliolazimisha wake zako kufanya tendo na kutishia talaka, moto unawaka daily na anakwenda nje anamaliza mambo yake anarudi apendavyo. kama wewe hutaki, wenzako wanataka-bye-anatoka!!

Utafiti huu tulifanya 1997 na tuliangalia kama mchezo huu mtu alianza kwa sababu ya kuwa pwani (sample, DSM, Bagamoyo, ZNZ). Utafiti haukuona uhusiano wa kuwahi kuja au kuishi Dar na kupenda upotofu huu wa Tigo. Mtu alianza akiwa Songea, Iringa, Mwanza, Mbeya. Ni pale yalipomkuta maisha na matatizo hayo akiwa dar au popote pale kwani tuliangalia alizaliwa wapi Tigo, kabila lake na Dar, Bgmoyo, ZNZ kafika lini. Mazingira  ya maisha ni muhimu zio kuwa Pwani au visiwani. yupo ambaye aliweka alama ya vema kuonyesha akiwa mwanaume-ameolewa, ameoa, ametalikiwa na ametaliki. Hii ilituchanganya. Lakini alikuwa na bwana (sodomy-kama gay) akaachwa na bwana; akaoa akaona haimfai akamuacha mke -akataliki.

Utafiti tumeuendeleza kila mwaka alipopatikana mtu au kikundi cha masuala haya hadi sana. Tumeongea na bisexuals, gays, transgender na lesbians. Tumeangalia pia alianzaje akiwa wapi na circumstances, anaishije, maisha na matatizo. Tusijidanganye, matatizo ni makubwa sana na source 80% ndani ya familia kunatoka watu hawa. Sasa wale ambao ndio wateja wa gays wamebadilika sura na gays wanakotoka imebadilika sana kidini (imechanganyika) na kikabila uelekeo umebadilika na huwezi kuamini. sitoongea hapa.Aina za gays na lesbians ni nyingi pia sio moja tu. Ndani ya familia (ndoa) na mahusiano kwa sasa kuna usumbufu zaidi wa watu kupenda haya unayoongea hapa tracy pamoja na kuwepo ukimwi na elimu juu ya magonjwa ya STDs na cancer za koo kutokana na watu kufanya mila iliyokataza. sio sigara tu kuleta cancer au viroba na mengine yaingizayo virus kooni. Waafrika hatupendi kuongea ukweli-tunajidanganya lakini nyuma ya pazia-ndio wenyewe.
Tukazane na maadili ya kiafrika katika mahusiano. Kiafrika mume akitaka Tigo ilikuwa ni leseni ya ndoa kuvunjwa. wapo wanaowafundisha wasichana wasiojua kuwa hiyo ni njia ya kawaida ya mapenzi nao wajinga hawajui. watu wa race nyingine hutumia Tigo kama uonevu na kukomoa kuchezea hao masikini si unampa hela. Wanawapangia vyumba/nyumba lakini akirudi kwake unamuona kama mtu safi mheshimiwa lakini amempangia shoga hata kama home hafanyi hivyo na mkewe.

Siku mke akimfumania mumewe na shoga marafiki wakimtonya-anamvaa shoga na kumpiga mume anamuacha-analinda ndoa na penzi. Yawezekanaje kakijana kadogo kamlazimishe baba mtu mzima ambaye ni mumeo umemfumania lakini humpigi? unaleta umma kumpiga shoga? shoga wamelalamika mengi wanapokamatwa na kuwekwa korokoroni. Sitosema hapa.

Huenda kitabu kitatoka kabla mwaka kuisha ili tujione katika kioo chetu wenyewe tuavche unduma kuwili. NGO yetu imetibu kwa kujitolea watoto wanafunzi wanaobakwa majumbani na njia ndefu ya kwenda wenye STDs (kilosa) na kujaribu kufikisha mahakamani baadhi ya kesi za ubakaji-ikashindikana kutokana na rushwa; mila za kiafrika za usiri kufanya mke, ndugu kuzuia na viongozi wa kijiji kutokutoa ushirikiano.

Asiyefahamu afahamu haya ni ya ukweli si porojo. Chunga wanao na vijana wako, akizoea anakuwa anataka haya ktk ndoa.

Mkundu enye ugonjwa shauri ya mchezo wa Tigo! Lazima anapata taabu wakati wa kunya! (Samahani kwa lugha lakini ukikubali kufanyiwa vituko ndo maneno yenyewe!)


 *************************************************

Kusoma habari zaidi za jinsi vijana wanavyooza Bongo kwa mchezo wa Tigo BOFYA HAPA: