Showing posts with label President Joyce Banda. Show all posts
Showing posts with label President Joyce Banda. Show all posts

Saturday, May 31, 2014

Malawi Yapata Rais Mpya!!!

Habari kutoka Malawi zinasema kuwa Peter Mutharika, ni Rais Mpya wa Malawi! Katika Uchaguzi wao,  Lazarus Chakwera alikuwa wa pili  na Joyce Banda (Rais wa sasa), kawa mshindi wa tatu!  Peter ni Kaka wa marehemu Bingu wa Mutharika aliyewahi kuwa rais wa Malawi.

**********************************


Hon. Peter Mutharika - President Elect of Malawi

  BLANTYRE, Malawi (AP) - Malawi's election commission has declared opposition leader Peter Mutharika to be the winner of an election that was marred by scattered unrest and complaints from the president and others that the vote was rigged.

   Mutharika, leader of the Democratic Progressive Party and brother of a president who died in 2012, won the May 20 election with nearly 2 million votes, or 36.4 percent of the electorate. Another opposition leader, Lazarus Chakwera, came second with 27.8 percent, the election commission announced late Friday night. Malawi uses the first-past-the-post system, meaning the candidate with the largest share of votes, no matter how small a percentage of the total votes cast, is the winner.

   President Joyce Banda was a distant third with just over 20 percent, according to the results. Banda had sought to annul the vote because of what she said were irregularities and had called for another election in which she said she would not participate, but a court said her move was invalid.

   Banda came to power in 2012 following the death of Mutharika's brother, Bingu wa Mutharika. Malawi is poor and heavily dependent on foreign aid. Banda initially drew praise for vowing to combat graft when she came to office, but her government has been tarnished by corruption scandals.

   Justice Maxon Mbendera, head of the election commission, lamented the death of a young boy in post-election violence in the southern resort district of Mangochi. He urged Mutharika, a lawyer and former foreign minister, to "focus on what matters and to spend our taxes efficiently" and appealed to the losers to acknowledge that "there can only be one winner."

   Jessie Kabwila, spokeswoman for Chakwera's opposition party, the Malawi Congress Party, said her party will challenge the results in court.

   "We are disappointed because this is not a credible election," she said. "We can't have a president from a junk vote."

   Nicholas Dausi, spokesman for Mutharika's party, said the victors would not be distracted by "bad losers."

******************

  BLANTYRE, Malawi (AP) - Malawi's election commission has declared opposition leader Peter Mutharika to be the winner of a disputed election despite complaints from the president that the vote was rigged.

   The election commission said late Friday night that Mutharika, leader of the Democratic Progressive Party, had won the May 20 election with 36.4 percent of the vote. Another opposition leader, Lazarus Chakwera, had 27.8 percent.

   President Joyce Banda was a distant third, according to the results. Banda had sought to annul the vote because of what she said were irregularities, but a court said her move was invalid.

   Banda came to power in 2012 following the death of Mutharika's brother, Bingu wa Mutharika.
  

Saturday, April 26, 2014

Sherehe za Miaka 50 ya Muungano Mjini Dar es Salaam

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi wakati alipokuwa anaingi uwanja wa Uhuru leo katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar..Pembeni ni Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Joyce Banda wa Malawi katika sherehe za miaka 50 ya Muungano.Rais Banda kwa sasa ndiye mwenyekiti wa jumuiya ya uchumi kusini mwa Afrika SADC.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt.Mohamed Ali Shein wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya muungano.

Rais dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Yoweri Kaguta Museveni katika sherehe za miaka 50 ya Muungano.

-Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi katika maadhimisho ya hsrehe za miaka 50 ya Muungano.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mfalme MswatiIII katika sherehe za miaka 50 ya Muungano zilizofanyika katika viwanja vya uhuru leo.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Uhuru Kenyatta katika hsrehe za miaka 50 ya Muungano.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Uhuru Kenyatta katika hsrehe za miaka 50 ya Muungano.


Picha na Freddy Maro wa Ikulu