Showing posts with label President Barack Obama. Show all posts
Showing posts with label President Barack Obama. Show all posts

Saturday, January 16, 2016

Ndoto ya Dr. Martin Luther King Jr


Marehemu Dr. Martin Luther King Jr. alipigania haki za watu weusi Marekani. Aliota kuwa siku moja wazungu hawatabagua weusi na kutuheshimu. Aliuawa na Mbaguzi mwaka 1968 akiwa na miaka 39.

Kwa Habari zaidi za Dr. King BOFYA HAPA:

Wednesday, October 15, 2014

Cheki Rais Obama AlivyoZeeka!


Jamani, kuwa Rais wa Marekani ni kazi ngumu. Cheki Rais Obama alivyozeela katika miaka 6!

Friday, September 05, 2014

RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani Jijini Nairobi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski  jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini. Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya, alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais Kikwete sasa hivi yuko mjini Kondoa kuendelea na ziara yake ya Mkoa wa Dodoma. PICHA NA IKULU



Wednesday, September 03, 2014

Rais Obama Anayobaguliwa na Republicans!

Ni kweli kabisa! Rais George W. Bush alichukua zaidi ya siku 367 likizo!  Hakuna Republican aliyelalamika!  Kwa vile Rais Obama ni mweusi wanadhani hastahili kupata likizo! Wadau, Marekeni unatakiwa ufanye kazi mara nne ya mzungu ili unonekane kuwa unafanya kazi!  Mimi mwenyewe na pambana na bosi kupata likizo nayo stahili, lakini mzungu akiomba anapata bila taabu!

Monday, February 24, 2014

Heko President Obama!


Republicans walie tu! Rais Obama anafanya mambo!

Tuesday, November 19, 2013

Birthers Wakome!

Hao wanompinga Rais Obama na kudai si rais halali wa Marekani kwa vile eti kaziliwa Kenya wakome kabisa.  Raisi Obama alizaliwa State ya Hawaii. Kwanza enzi zile ingekuwa vigumu waazai wake wasafiri kwenda Kenya maana nauli ilikuwa ghali mno! Hao birthers ni wazungu wasioppenda weusi na kuwa mtu mweusi ndiye Rais!

********************

Monday, July 01, 2013

Rais Obama na Mke Wake Nchini Tanzania

Rais Obama na mke wake Michelle wakiburudishwa na ngoma za kienyeji Ikulu. President Obama and his wife Michelle, being entertained with Tanzanian traditional dances. Video kwa hisani ya Ikulu

Ziara ya Rais Obama wa Marekani Nchini Tanzania Katika Picha

Wadau,  vyombo vya habari hapa Marekani jinsi waTanzania walivyompokea Rais Obama kwa upendo na ukarimu.  Na pia walishanaa Rais Bush Jr. alivyopokelewa. Kweli waTanzania tujivunie! Wanazidi kushangaa vitenge na khanga zenye picha ya Rais Obama pia! 

Picha Kutoka Yahoo News na CNN.com






Welcome to Tanzania President Obama!


President Obama Cuts AIDS Funding!!!!

banniere.JPG
 

Obama Hits Tanzania: AHF Says “No Retreat on AIDS” 
 
Obama cut over $200 million from global AIDS programs - the first president to ever cut AIDS funding
 
DAR ES SALAAM, Tanzania, July 1, 2013/ -- As President Obama finishes his Africa visit with a stop in Tanzania, AIDS advocates continue to urge him to honor the US’ commitment to PEPFAR, the respected and lifesaving global AIDS program.
 
Desmond Tutu’s “Keep the Promise on AIDS” Video Message to Obama: http://youtu.be/fhQu4w9l2vk   
 
 
Photo "Obama No Retreat ad Tanzania": http://www.apo-mail.org/Obama-No-Retreat-Tanzania.pdf
 
U.S. President Barack Obama finishes his official visit to Africa—with a stop in Tanzania starting Monday. Advocates, patients and doctors from AIDS Healthcare Foundation (AHF) (http://www.aidshealth.org) and advocates from the African Council of AIDS Service Organizations (AfriCASO) (http://www.africaso.net) will continue to urge Mr. Obama to honor the US’ commitment to the President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) (http://www.pepfar.gov), the landmark U.S. global AIDS program which has saved millions of lives worldwide. Obama cut over $200 million from global AIDS programs, including PEPFAR - the first U.S. president to ever cut AIDS funding.
 
Throughout his three-country Africa trip, the advocates held press conferences and placed newspaper advocacy ads (http://www.aidshealth.org/no-retreat-on-aids-docs) urging ‘President Obama: No Retreat on AIDS.’ In conjunction with President Obama’s arrival in each country, newspaper ads ran in Senegal (L'Observateur - June 26 and Le Soleil - June 27); South Africa (Cape Argus - June 30) and in Tanzania (East-African - June 30 and Daily News - July 1) (http://www.aidshealth.org/wp-content/uploads/2013/06/Obama-No-Retreat-Tanzania.pdf). Each “No Retreat” ad used the colors of the flag of each respective country as a backdrop behind an iconic silhouette image of Obama walking away.
 
In Washington, DC, AHF also placed the ‘No Retreat on AIDS’ ad in ten bus shelter ad panels in locations surrounding the White House.
 
 
Desmond Tutu’s “Keep the Promise on AIDS” Video Message to Obama
 
Capture YouTube.JPGAt the press conferences in Senegal and in Pretoria and Cape Town in South Africa, the AIDS patients and advocates also played a video message from Archbishop Desmond Tutu (http://youtu.be/fhQu4w9l2vk), recorded last summer for the ‘Keep the Promise on AIDS’ Rally & March which took place the opening day of the 2012 International AIDS Conference in Washington, DC. In his video message, Archbishop Tutu talks about the humanitarian lifesaving efforts of the US through PEPFAR. He also gently then chides President Obama to ‘Keep the Promise on AIDS.’
 
Distributed by the African Press Organization on behalf of the AIDS Healthcare Foundation (AHF).
 
 

Maandalizi ya Mapokezi ya Rais Obama Dar es Salaam











Taswira mbalimbali zinazoonesha maandalizi ya mapokezi makubwa ya Rais wa Marekani Barack Obama atapowasili Ikulu jijini Dar es salaam mchana huu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama ilivyo kawaida yake amepita kila mahali kuangalia kwamba mambo yanaenda
mswano, ikiwa ni pamoja na kusaliamiana na makundi ya wananchi wa Dar es salaam walioko katika lango kuu la Mashariki.

PICHA NA IKULU

Elumelu's Heirs Holdings Commits USD2.5 Billion to Obama’s Power Africa Initiative

PRESS RELEASE
Elumelu's Heirs Holdings Commits USD2.5 Billion to Obama’s Power Africa Initiative
African investment group is the single largest investor to US-led pan-African power initiative
DAR ES SALAAM, Tanzania, July 1, 2013/ -- As part of his commitment to deliver affordable and accessible power to the continent, African business leader Tony O. Elumelu is committing US$2.5 billion to the power sector in Africa. The investment is being made through his pan-African proprietary investment company Heirs Holdings (http://www.heirsholdings.com) – the single largest investor included in the White House statement announcing the Power Africa initiative.
Power Africa is a multi-stakeholder partnership between the United States, the governments of Ghana, Tanzania, Kenya, Liberia, Nigeria and Ethiopia, and the African private sector, with the shared objective of accelerating investment in Africa's power sector over the next five years. The initiative was launched in South Africa during Obama's town hall at the University of Cape Town.
Earlier this year, Elumelu’s holding company, through its investee company, Transnational Corporation of Nigeria (Transcorp), purchased the Ughelli power plant, one of Nigeria’s largest power assets, which it plans to restore to its full generating capacity of 1000 megawatts.
"The investment we are making demonstrates our intent to become a significant player in the power sector. It also shows in a clear and meaningful way that African capital can and should be part of the solution to Africa’s challenges. We need more African companies to step up and get involved in Africa’s development.”
Elumelu, who is Chairman of Heirs Holdings, went on to say, “Heirs Holdings’ investment in Power Africa is not just about creating value for shareholders. We want to conduct business in this strategic sector for the long term, in a way that links economic return to social benefits – a key component of what I call Africapitalism. Access to affordable, uninterrupted power will have an immeasurable impact on the economic ecosystem. The cost of doing business will come down, entrepreneurs will expand and innovate, and jobs will be created as a result. That is a very tangible example of what Africapitalism is about: the private sector creating economic prosperity and social wealth.”
Distributed by the African Press Organization on behalf of Heirs Holdings.
Read the White House Power Fact Sheet and Press Release: http://www.whitehouse.gov/the-press-office/2013/06/30/fact-sheet-power-africa
For more information:
Moky Makura
Director, Marketing and Corporate Communications
Heirs Holdings

Sunday, June 30, 2013

President Obama's Schedule/Ratiba in Tanzania

Ratiba ya President Obama Bongo

Monday, July 1, 2013
On Monday afternoon, President Obama takes part in a formal arrival ceremony in Dar es Salaam, Tanzania.

President Obama participates in a bilateral meeting and joint press conference with President Jakaya Kikwete of Tanzania.

In the evening, President Obama participates in a CEO roundtable and business leaders forum.
President Obama and President Jakaya Kikwete of Tanzania participate in an official dinner.

Tuesday, July 2, 2013

On Tuesday morning, President Obama takes place in a Consulate meet and greet.
President Obama visits the Ubungo Power Plant.

Mpokee Rais Obama kwa Shangwe!

Saturday, June 29, 2013

President Obama Refusal to Visit Kenya Will Have Consequences

Kenya has some serious issues with its Top Leader being accused of serious crimes. so, it is understandable why President Obama is not visiting Kenya. But some do not see it that way.

*****************************************************

By KWAMCHETSI MAKOKHA

US President Barack Obama is no friend of Kenya. Consider that when no other country ever declared a public holiday to celebrate his election victory in 2008, Kenya did. The Senegalese had no idea and the Tanzanians and South Africans were green with envy.
Consider also that when President Obama needed good genes to get into Harvard Law School, a Kenyan contributed 50 per cent. When Mr Obama needed pictures of himself carrying cassava to the market to get through a bruising campaign, Kenya obliged.
In fact, Kenya provided the story of his African ancestry — complete with the heroic role his grandfather played in the Mau Mau struggle for independence. He even visited the country as a junior senator for Illinois, and was welcomed with open arms.
Now that he is President, Kenya is not good enough to visit.
The excuse for his refusal is laughable. Fears of being photographed at State House in the company of the country’s two leaders who face crimes against humanity charges at the International Criminal Court have apparently forced him to skirt his father’s homeland as if it were a leper colony.
Did the country not conduct peaceful elections this year that the Supreme Court passed as the cleanest in the country’s history? He has permitted a little domestic quarrel about power to prevent him from taking a mere photograph with the legitimate leadership of Kenya just because of claims that 1,133 people died and 600,000 others were displaced as a result of their combined genius.
Has Kenya not recovered from the violence that nearly tore the country apart in 2008, passing a modern and progressive Constitution?
Only this year, Mr Obama pretended to care for Kenya by promising that those willing to walk the path of progress would “continue to have a strong friend and partner in the United States of America”.
Instead of holding up Kenya as a beacon of democracy and prosperity that has survived 50 years of independence, Mr Obama has gone looking for examples in Senegal, Tanzania and South Africa. He should know that Kenya wrote the encyclopaedia of African democracy.
It is incongruous that Mr Obama would want to discuss good governance with toddlers in African democracy. Anyone who needs a manual on how to run elections needs to look no further than Kenya.
Anyone who is keen on creating a youthful leadership on the backbone of integrity need not look further than Nairobi. Mr Obama wanted to discuss political parties? Kenya has over 50. It can teach Africans not just about democracy, it can also instruct them on justice.
For all its exemplary political conduct, what does Kenya get? Bad press and a presidential snub! Other than having Nelson Mandela, South Africa has nothing on Kenya. The lions in Tanzania are all Kenyan.
Mr Obama seems to be oblivious of the numerous sacrifices many Kenyans have quietly made to bring him to where he is. Numerous Kenyans, working as immigrants, have lifted the American economy from the ignominy of the world economic crisis.
Kenya has allowed thousands of Americans to work as spies, marines, teachers, researchers and what-not just to cover Mr Obama’s vulnerability in failing to create jobs at home. His truancy in dodging the call of his ancestral home invites punishment commensurate with his mischief.
Mr Obama should think long and hard about the effect of Kenya demanding the repatriation of all its resources stolen to benefit America – starting with six pints of his blood, 16 of his teeth and 50 per cent of his brain. The rest should follow in due course.
Choices have consequences.

Sunday, May 19, 2013

Rais Obama kutua Tanzania


President Barack Obama

 Kutoka Gazeti la Mwananchi

Rais wa Marekani Barack Obama ambaye anatarajiwa kudhuru Tanzania siku za hivi karibuni 
Kwa ufupi;
Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa ujio wa Rais Barack Obama wa Marekani nchini, ni fursa nyingine kwa Tanzania kukuza uchumi na kuimarisha uwekezaji.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Ziara yake ya kwanza aliifanya wakati wa awamu yake ya kwanza madarakani, wakati ziara ya safari hii ni kipindi chake cha lala salama.

Rais Obama alianza rasmi awamu yake ya kwanza kama Rais wa Taifa kubwa, Januari 20, 2009, wakati ng’we yake ya mwisho ilianza Januari 21, 2013.

Rais Obama anatarajiwa kufanya ziara hiyo mwishoni mwa Juni mwaka huu, ambapo Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za mwanzo za Afrika Mashariki kutembelewa na kiongozi huyo.
Ziara ya Rais Obama inafanyika baada ya ziara ya Rais Xi Jiping wa China aliyeitembelea Tanzania Machi 28, mwaka huu, ambapo Tanzania ilikuwa nchi yake ya kwanza kuitembelea kwa Afrika tangu achaguliwe kuwa rais, Machi 14, 2013.

Akizungumzia ziara hiyo tarajiwa, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (Cuf), Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi, alisema amani, utulivu na uimara wa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi kwa kulinganisha na nchi nyingine za jirani, vimechangia kuwapo kwa ziara hiyo.
Profesa Lipumba alisema pia ugunduzi wa rasilimali za asili kama vile gesi, mafuta na madini ya urani ni sababu nyingine iliyomfanya Rais huyo kuja nchini.

Hivyo aliwashauri viongozi wa Serikali kujipanga kwa ajili ya kufungua mlango huo mwingine wa uchumi na uwekezaji.

Alisema pamoja na hali hiyo pia kuna mambo ambayo yanaweza kuchafua taswira ya nchi kama vile ubovu wa miundombinu ya barabara, msongamano wa magari barabarani na msongamano wa meli bandarini wakati zikisubiri kushusha mizigo.

Jumatano ya wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry alitangaza mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ushirikiano kati ya Marekani na Afrika, kwamba Rais Obama hivi karibuni atafanya ziara Afrika.

Ingawa Kerry hakutoa maelezo zaidi ya nchi gani za Afrika ambazo Rais Obama atazitembelea, lakini baadhi ya vyombo vya habari vya Nigeria vilieleza kiongozi huyo atafanya ziara Tanzania, Rwanda na Nigeria.

Kiongozi wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais Obama tangu awe Rais wa Marekani, alikuwa Rais Jakaya Kikwete aliyekutana naye Mei 2009, Washington, Marekani.

Kwa nini ni Tanzania na Rwanda
“Kenya asingeweza kwenda kutokana na suala la Rais na Makamu wake kutuhumiwa kuhusika katika mauaji ya kimbari yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu 2007/2008, kwani msimamo wa Marekani ni kutaka wahusika wa vitendo vile wakamatwe na kufikishwa mahakamani. Hivyo kwake kuwatembelea watuhumiwa asingeeleweka,” alisema Profesa Lipumba.

Alibainisha kuwa Rwanda ina uhusiano wa karibu na Marekani na pengine suala la mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) litachukua nafasi.

Kulingana na taarifa za Ikulu ya Marekani, Rais Obama alikuwa amepanga muda wake mwingi wa awamu ya pili ya uongozi wake kujihusisha na masuala ya Afrika.

Tuesday, February 05, 2013

Ujumbe Kutoka Kwa Rais Obama Kwa WaKenya



Rais Obama katoa ujumbe mzito kwa WaKenya na waafrika kwa ujumla!

Friday, November 16, 2012

Four More Years of President Obama

Received Via E-mail


HE STILL STANDS TALL...Please Share

44th President of the USA - President Barack Obama

AND HE STILL STANDS TALL... God's grace and peace upon this man is my prayer, and I pray that before the end of his term, people's heart, mind, and eyes will open.

There will never be another like him.

May he lead and be guided in the way God would want him to lead and guide.

He is not perfect and has never claimed to be.

He and this whole country is in need of our prayers.

It only takes a spark.

NO President has ever worked this hard for our country.

Many wonder, does he ever sleep??

Only God can sustain such energy, knowledge, and person.

Please let us form a powerful prayer chain around our President and his family and ask God to secure it with love, protection, mercy and grace.

Amen.

*********
Will you please join in this prayer?

Let's keep this going!

Lord,

We pray for optimum health, mental clarity and political prosperity for President Barack Obama.

We pray that what he lacks in political 'experience' you make up for with supernatural wisdom and power.

We also pray that when his enemies come upon him they will stumble and fall; and that your love will fill his heart to the end and that 'Your Will' be done through him.

All you are asked to do is keep this circulating if you are so inclined.

May God bless and keep you.

"For to be free is simply not to cast off one's chains, but to live in a way that respects and enhances the freedom of others"

- Nelson Mandela

Thursday, November 08, 2012

Website ya Rais Romney ilikuwa Hewani Leo Asubuhi!


Yaani hadithi za Gavana Romney haziishi. Leo asubuhi Website ya "Rais Romney" ilikuwa hewani. Imeshatolewa. Nadhani walikuwa na Timer kwenye hiyo site na walisahau kuizima aliposhindwa uchaguzi.

Romney alivyokuwa anajua kuwa atashinda uRais aliandika hituba ya kukubali ushindi na hakuandaika ya kushindwa. Ndo maana ilichukua muda kukukabli kushindwa.

Rais Barack Obama  wa chama cha Deomcrats alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani kwa miaka minne zaidi katika Uchaguzi wa Novemba 6, 2012.

Mnaweza kusoma habari zaisi kwa KUBOFYA HAPA: