Nenda kwa yaliyomo

Wamarekani weusi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fo:Afroamerikanarar
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be:Афраамерыканцы
Mstari 16: Mstari 16:


[[ar:أمريكيون أفارقة]]
[[ar:أمريكيون أفارقة]]
[[be:Афраамерыканцы]]
[[bg:Афроамериканци]]
[[bg:Афроамериканци]]
[[bs:Afroamerikanci]]
[[bs:Afroamerikanci]]

Pitio la 19:31, 14 Juni 2011

Louis Armstrong
Martin Luther King
Mwanaanga Robert Curbeam

Wamarekani weusi ni watu wanaoishi nchini Marekani wakiwa na mababu waliotoka Afrika. Mara nyingi mababu hao walipelekwa Marekani kama watumwa katika karne zilizopita. Jina hili laweza kutaja pia watu ambao wazazi wao au hao wenyewe walihamia Marekani kutoka Afrika karibuni tu.

Watumwa walipelekwa Marekani kutoka Afrika kati ya 1619 na 1807 hasa wakati usafirishaji wa watumwa kutoka Afrika ulipigwa marufuku. Katika utamaduni wa Marekani kila mtu mwenye babu Mwafrika huhesabiwa kama "mtu mweusi" hata kama uzazi wake ni wa chotara na sehemu kubwa walikuwa watu weupe.

Siku hizi Wamarekani weusi wengi huishi mjini lakini bado kuna maeneo penye Wamarekani weusi wengi mashambani katika kusini ya nchi.

Kwa jumla kuna watu 39,151,870 wanaohesibwa kama Waamerika weusi na hao ni asilimia 13 ya Wamarekani wote.

Mashuhuri kati ya Wamarekani weusi ni wanamuziki kama Louis Armstrong, wanasiasa kama Martin Luther King, Jr. au Barack Obama na waandishi kama Toni Morrison.